Tangazo
Soma Kisa
Hichi Kilichomkuta Huyu Baba Baada ya Simu Kuita Bahati Mbaya Akiwa Kanisani
Simu yake
iliita kwa Bahati mbaya wakati wa ibada akiwa kanisani
Mchungaji
alimfokea
Waumini
walimzonga baada ya maombi ya ibada
Wakati
anarudi nyumbani, njia nzima mkewe aliendelea kumsema kwa kutokuwa makini
Akajisikia
vibaya sana, huzuni, na aibu juu
Jioni yake,
ili kupoteza mawazo, alikwenda bar
Aliagiza
bia, akaiweka mezani. Kwa kuwa alikuwa na mawazo mengi, akaigusa pombe
ikamwagika
Muhudumu
alikuja, akampa pole kwa unyenyekevu, na akafuta meza kiustaarabu, kisha
akamfuta jamaa ilipommwagikia kiunyenyekevu
Meneja wa
bar ile alimpa jamaa bia ya ofa kufidia iliyomwagika
Muhudumu wa
kaunta alipomletea alim'busu akim'bembeleza, "Usijali, hakuna ambaye hana
makosa!"
Jamaa
hajawahi kukosa 'ibada' ktk bar hiyo tangu siku ile
SOMO:
Unavyowatendea
watu kunaweza kujenga au kuwabomoa, hasa wanapokosea
0 Comments