MAOMBI YA KUFUTA VIAPO VYOTE VINAVYOFANYA KAZI KINYUME NA MAISHA YAKO
Kiapo ni maneno yaliyotamkwa yanayoweza
kuleta laana juu ya mtu au familia.
Kiapo kinaweza kumfunga mtu kwa lile jambo
alilolijiapiza Au Aliloapizwa .
Mtu anasema
Naapa kuwa Sitakuacha Mpaka kifo baada ya Muda anaanza kutoka Nje ya ndoa
Madhabahu na kiapo Kina Mshuhulikia
Mtu Yuko
kwenye Mahusiano wanaapizana Mimi Sitaolewa na mtu Mwingine Tena na Mimi sitaoa
mtu mwingine tena mwisho wa siku Mahusiano yanavunjika na anataka Kuolewa au
Kuoa anasahau kuna Kiapo alishaapa
Yoshua
6:26-27 “Naye Yoshua akawaapisha kiapo wakati ule, akasema, Na alaaniwe mbele
za Bwana mtu yule atakayeinuka na kuujenga tena mji huu wa Yeriko; ataweka
msingi wake kwa kufiliwa na mzaliwa wa kwanza wake, tena atayasimamisha malango
yake kwa kufiliwa na mtoto wake mwanamume aliye mdogo.Basi Bwana alikuwa pamoja
na Yoshua; sifa zake zikaenea katika nchi ile yote.”
Aliwaapisha
kwasababu hakuweza kuwaacha hivihivi ili mtu asije kujenga tena Yeriko na
akijenga atafiwa. Kiapo kinaendana na taratibu zake na huyu anayekuapisha
anasema ukifanya hivi na hivi yatakupata haya.
Siku hizi
utakuta familia kila mwaka anakufa mtu maana yake kuna viapo vya kifamilia.
Ukirudi nyuma miaka ya nyuma tulikua hatumjui Mungu hivyo wazazi wetu walikua
wanafanya viapo kwa miungu na mashetani, viapo vile vimefata familia zetu mpaka
leo hii.
ZAIDI INGIA HAPA>>>nchiyaukomboziministrytz.blogspot.com
AMINA SANA MUNGU AKUBARIKI SANA
TUMA MAHITAJI HAPA NA MCHUNGAJI ATAKUOMBEA.
0714890889
YUOTUBE: Upenyo Wa Mungu Tv

0 Comments