Follow us

MAOMBI YA KUFUTA MANENO LAANA ULIYONENEWA JUU YAKO.

Tangazo

 

MCHUNGAJI LAURENT MPOMA

NCHI YA UKOMBOZI MINISTRY TZ

SINGIDA MJINI, MWAJA KITOPE

MAOMBI YA KUFUTA MANENO LAANA ULIYONENEWA JUU YAKO.

MITHALI 18:21 "Kifo na uzima viko katika nguvu za ulimi.Naye anayeupenda kuutumia atakula matunda yake"

Kabla ya maombi haya hakikisha umeomba msamaha kwa mtu yeyote uliyemkosea na pia kusamehe mtu yeyote aliyekukosea.

Mungu mwenyewe ni msamaha na atakusamehea tu kama nawe utasamehea wabaya wako.

Husipotoshwe na mtu yeyote akakwambia kuwa maombi ya mtu aliyeokoka yatajibiwa sawasawa na ya mtu anayemkataa Yesu,huo ni uongo mtupu kwani maombi ya mwokovu husikizwa sana na Mungu.

Neno lako Isaya 1:18 unasema hata dhambi zangu ziwe nyekundu utanisafisha na kunisamehea.Baba wa mbinguni nisamehe.

Ninafuta kila neno mbaya nililonenewa na wabaya wangu,nikanenewa na wachawi wakasema sitabarikiwa.Nalifuta neno hilo kwa damu ya Yesu Kristo katika Jina la Yesu kristo na ninabadilisha laana yao na kuwa baraka kwangu katika Jina la Yesu.

Kila neno ovu la kunifunga lililotamkwa kwa kazi yangu nalifuta kwa damu ya Yesu Kristo.

<<<<<AMINA SANA MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUCHUKUA HATUA>>>>

MAOMBI NA MAOMBEZI

WASILIANA NA MCHUNGAJI LAURENT MPOMA

PIGA +255762756542, +255782859946

WHATSAP: +255762756542

 

Post a Comment

0 Comments