Follow us

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI

Tangazo

            

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI

2. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI

3. 2Petro 1:3-4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,nguvu zake za) uungu umetupatiamambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe.

4. 2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa mbaya.

5. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA1. KUMILIKI NA KUTAWALA

6. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA1. KUMILIKI NA KUTAWALA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA

7. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA1. KUMILIKI NA KUTAWALA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA3. KUMSIFU NA KUMWABUDU

8. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26,28 26 Tufanye mtu kwa sura yetu nakwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia.

9. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

10. KUSUDI LA KANISA Ufunuo 5:9-109 Wewe Mungu … unastahili heshima zote, kwa sababuulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kilalugha, kila jamaa na kila taifa. (yaani kanisa).

11. KUSUDI LA KANISA Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawawawe Ufalme na Makuhani wakumtumikia Mungu wetu, nao wanamiliki dunia.’’

12. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Ufunuo 5:8-10 Ufalme MakuhaniKutawala Ibada

13. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha mamlaka ya Mungu duniani.

14. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili mwanadamu awe na maishamazuri yatakayomwezesha kuwa chombo kizuri cha ibada.

15. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8Mwanadamu ni nani hata umemwangalia hivi?Umemfanya mdogo kidogo tu kuliko Mungu,

16. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8ukamvika taji ya Utukufu naheshima, ukamtawaza juu yakazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini ya miguu yake…

17. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8Hilo neno “juu ya” = (Over All) = Mkuu = Mtawala “Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi = Mungu

18. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 18 Na milango ya kuzimuhaitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).

19. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 19 Kwa maana nitawapafunguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni);

20. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)

21. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali nchi amewapa wanadamu

22. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili mwanadamu awe na maishamazuri yatakayomwezesha kuwa chombo kizuri cha ibada.

23. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ili kumwezesha mwanadamukuitawala dunia pamoja na Mungu, Mungu alimuumbia mfumo wauungu katika utu wake wa ndani, ili atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu. (Mwanzo 1:26-28)

24. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Mwanzo 1:26-18 Kwanini ni lazima Kuitawala Dunia? (kuitiisha)

25. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kuna kuna upinzani wa adui shetani (vita na mapambano)

26. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni,Malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka …

27. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “ambaye ni baba wa uongo, na mkiani mwake anakokota theluthi (1/3) ya nyota zambinguni (malaika wa Mungu) …

28. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni,katika ya Mikaeli, malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, na yule joka (ibilisi shetani) na malaika zake aliowadanganya …”

29. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, walamahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

30. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni,ikisema, sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.

31. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu yamwana kondoo na kwa neno la ushuhuda wao, ambaohawakupenda maisha yao hata kufa”.

32. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyiwote mkaao mbinguni; lakini ole wa ninyi mkaao duniani! Kwamaana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua ana wakati mchache!

33. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa), akaendaafanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu nakuwa na ushuhuda wa Yesu …”

34. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kwasababu kuna vita Mathayo 16:18-19Ndio maana Bwana Yesu alisema ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya kuzimu (nguvu zagiza) haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga’

35. VITA VYA ROHONI Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani, kwasababu, kuna vita naupinzani (mashindano), kati yashetani na watoto wa Mungu (kanisa la Bwana Yesu).” (Mathayo 16:18)

36. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kutawala Ni Mfano na Asili ya Baba yetu ‘Mfalme wa wafalme’

37. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Ni Mfano/Asili ya Baba yetu Mwanzo 1:26,28 ‘Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawaledunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia’.

38. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Mwanzo 1:26-18 Kwanini ni lazima Kuitawala Dunia? (kuitiisha)

39. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kuna kuna upinzani wa adui shetani (vita na mapambano)

40. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Shetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu,kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katikambingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada za malaika wa mbinguni.

41. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi, ndiomaana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa Mungu, yaani mimi na wewe

42. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Shetani anachokifanya, ni kutafutanamna ya kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugiaMungu ibada, anayoitamani sanakutoka duniani (kwa watoto wa Mungu).

43. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA KUSUDI LA KANISA Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingirayake, ili binadamu aweze kuishimaisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

44. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUHivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)

45. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, nakumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, (Mwanzo 1:26-28)

46. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUHivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha yako (inayotoka duniani). (Yohana 4:23)

47. VITA VYA ROHONI Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la Bwana Yesu Kristo).” (Mathayo 16:18-19)

48. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI Yakobo 5:16-18

49. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-1817 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe juu yanchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).

50. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-1818 (baada ya miaka mitatu nanusu) Eliya akaomba tena kwabidii, ili mvua inyeshe, na mvua ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

51. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-1816 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. (Hosea 4:6, Warumi 10:2)

52. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa mfano;Yesu na Petro kutembea juu ya maji. Mathayo 14:25-33

53. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-3325 Wakati wa zamu ya nne yausiku (ni kati ya saa 9 na saa 12 alfajiri), Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji (kinyume na kanuni za asili).

54. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 26 Wanafunzi wakewalipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’ Wakapiga yowe kwa kuogopa.

55. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-3327 Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipenimoyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe, niambie nije kwako nikitembea juu ya maji.’’

56. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 29 Yesu akamwambia, “Njoo.’’ Basi Petro akatoka kwenyenchombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.

57. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-3330 Lakini alipoona upepo mkalialiingiwa na hofu, naye akaanzakuzama, huku akipiga kelele,“Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesuakanyosha mkono Wake nakumshika, akamwambia, …

58. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 31 … “Wewe mwenye imanihaba, kwa nini uliona shaka?’’ 32 Nao walipoingia ndani ya chombo, upepo ukakoma.

59. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 33 Ndipo wote waliokuwamo ndani ya kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema,“Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.’’

60. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Makusudi ya Mungu ni sisikanisa lake, tukue kiroho na tuwe wa mfano wa Yesu mwenyewe Yohana 14:12

61. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:12 “Amin, amin, nawaambia, kila mtu aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo, yeye nayeatazifanya, na hata kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.

62. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-1511 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa walimu,

63. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-1512 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa.

64. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katikakumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kiroho, hata kufikia cheo (level) yakipimo cha ukamilifu wa Kristo.

65. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 14 Ili tusiwe tena watotowachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hilaza watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.

66. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-1515 Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata tumfikie Yeye aliye kichwa, yaani, Yesu Kristo.

67. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa mfano;Petro na Yohana kumponya kilema wa miaka 40. Matendo 3:1-10

68. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 1. Siku moja Petro na Yohana walikuwawanapanda kwenda hekalunikusali yapata saa tisa alasiri.

69. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-102 Basi palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango lahekalu liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu wanaoingia hekaluni.

70. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-103 Huyu mtu akiwaona Petro na Yohana wakikaribia kuingia hekaluni, aliwaomba wampe sadaka.

71. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 4 Wakamkazia macho, kishaPetro akamwambia, ‘‘Tutazame sisi.’’5 Hivyo yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.

72. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 6 Ndipo Petro akamwambia, ‘‘Sina fedha wala dhahabu,lakini kile nilicho nacho ndichonikupacho. Kwa jina la Yesu wa Nazareti simama, uende.’’

73. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 7 Petro akamshika yule mtu kwa mkono wa kuumeakamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.

74. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-108 Akaruka juu na kusimama, akaanza kutembea. Kishaakaingia Hekaluni pamoja na Petro na Yohana, hukuakitembea na kurukaruka na kumsifu Mungu.

75. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-109 Watu wote walipomwona akitembea na kumsifu Mungu, 10 wakamtambuakuwa ni yule mtu aliyekuwaakiketi nje ya hekalu penye lango liitwalo Zuri …

76. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-1010 … akiomba msaada, nao wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale yaliyomtukia.

77. Lengo letu ni kujifunza KUITAMBUA ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU

78. ILI ITUWEZESHE KUJUA NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU AUNAMNA YA KUOMBA SAWA SAWA

79. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

80. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

81. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

82. NINI MAANA YA KUOMBA Kwasababu, Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24) Hii ina maana kwamba, Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.

83. NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu … Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’ (Waebrania 11:6) “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Munguyupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

84. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,(katika ulimwengu wa roho)…

85. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,… ili kuongea na Mungu …

86. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …

87. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … itasababisha na kuletamabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

88. NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

89. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

90. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

91. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

92. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

93. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

94. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

95. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

96. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

97. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

98. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

99. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

100. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

101. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

102. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

103. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.

104. NAMNA YA KUOMBA Bwana Yesu anasema;“Ombeni nanyi mtapewa,Kwa maana kila aombaye Hupokea (hupewa) … (Mathayo 7:7-11)

105. NAMNA YA KUOMBA Na wachache wanaoomba Biblia anasema;“Mnaomba na hata hampati,Kwasababu mnaomba vibaya” (Yakobo 4:3)

106. NAMNA YA KUOMBABwana Yesu anasema; “Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)

MUNGU AKUBARIKI SANA

TUMA MAHITAJI HAPA AU PIGA

MCHUNGAJI LAURENT MPOMA

0762756542

WATSAP: 0762756542

Post a Comment

0 Comments