Follow us

SOMO: KUFANIKIWA KIROHO NA KIMWILI

Tangazo

 

Mchungaji Laurent Mpoma

SOMO: KUFANIKIWA KIROHO NA KIMWILI

UTANGULIZI

Bwana YESU asifiwe mpendwa wa madhabahu hii, Ninakupenda. Karibu tujifunze neno la MUNGU muda na wakati kama huu. Leo tunaenda kujifunza somo juu ya “Mafanikio ya kiroho na kimwili”, kupitia mbinu mbalimbali ambazo Mimi napenda kuziita ” SAYANSI YA MAFANIKIO”.

MAANA YA MAFANIKIO

Kama wasafiri hapa duniani, binadamu tumekuwa tukipigana na kujitahidi kwamba tupate MAFANIKIO ili siku pale parapanda litakapolia basi mtu aweze kuondoka na kuacha alama, kwamba alikuwa amefanikiwa au hakufanikiwa.

Je, MAFANIKIO katika maisha ya binadamu ninini?, yanakuwa defined vipi?, Ni yapi yanatufanya tuseme Fulani kafanikiwa kimaisha?, Je,kuwa na Mali nyingi, magari,nyumba, pesa n.k ni MAFANIKIO katika maisha?, Je, kuwa na kazi nzuri yenye mshahara mzuri ni mafanikio?, Je,kulishika neno la Mungu na kumwamini ni MAFANIKIO katika maisha?

MAFANIKIO-NI ILE HALI YA KUJIHISI VIZURI KUTOKANA NA KUISHINDA AU KUZISHINDA CHANGAMOTO ZILIZOPO NA ZILE ZINAZOJIINUA KATIKA MAISHA;

   MSINGI WA SOMO HILI NI HUU

a) Kufanikiwa kwa kusudi la Mungu kunategemea namna unavyotumia FURSA anazoleta Mungu maishani mwako (MAFANIKIO ya kiroho).

b) Kufanikiwa kwa maisha yako binafsi kunategemea namna unavyotumia FURSA anazoleta Mungu maishani mwako. Ni Mara ngapi Roho mtakatifu amekufunulia siri ya mafanikio halafu hukutii?.

Zaburi 133:1 “Tazama jinsi ilivyovema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja”.

MUNGU AKUBARIKI SANA

ENDELEA KUFUATILIA

MAOMBI NA MAOMBEZI

MCHUNGAJI LAURENT MPOMA

0762756542

WATSAP: 0762756542

Post a Comment

0 Comments